Ilikuwa ni shangwe kubwa na Furaha isiyo na kifani kwa tasnia hii yetu ya uingizaji pale Paradise ilipofanya suprise coctail na msanii kutoka huko nigeria alkiyefikia katika hotel ya paradise City kwa shughuli za uigizaji
Tulianza kumkariobisha kanumba na mkurugezi wetu alimpa mawaiza mawili matatu ambayo alihaidi kuyafanyia kazi ili azidi kusonga mbele
Eneo lenyewe lilikuwa ni New Savanah lounge kwa wale amboa amjui sasa hivi savanah imepewa sura mpya kabisa katika kiota cha maraha
lema moja nikiwa na ramsey ndania ya asavanah lounge
Kanumba na Ramsey ndani ya Savvanah lounge Dada angela Bondo alimkaribisha Ramsey kwa ukarimu wa hali ya juu
Haya kijana naye akapewa mawaidha na mkurugezi kweli ilipendeza
Ramsey akiwa katika pozi ndani ya Savanah Lounge
"Nawashukuru sana Paradise kweli hii ni Paradise nimetembea hotel nyingi duniani lakini napenda ni kiri huu ni ukarimu ambao kwa mara ya kwanza naupata hapa Paradise napenda niseme nitazidi kuja na nia na malengo nikufanya nellywood na bongohood kuwa kitu kimoja na ikiwezekana africa kwa ujumla Nashukuru sana "hayo yalikuwa ni maneno ya Ramsey
Kikubwa napenda kumshukuru mkurugezu wa hotel ya Paradise kusema ukweli mimi kama kijana wake sikutegemea Thank you Sir haya ni maneno ya J J
Picha ya pamoja na Bongo movie star
Pacho ,Lema one na Nova
Wewe nakuambia usisite kuja nyumbani kwa swala lolote na nataka uwe kama mwenzio sawa si kila siku kuigiza mapendeshee tu sawa kijana
Hapo sasa kwa viburudisho wa bongo movie huyo ni Mtu mzima lulu
management of Paradise City Hotel
Vituko tu mdogo wangu heeeeee haya
No comments:
Post a Comment