Meza alionekana kama hivi
Dada Eda alifika mapema kabisa ila alipita njia za ajabu mpaka kufika restaurant ili tu asionekane na kuaribu suprise yote haya yaliafanya na MD wetu kushirikiana na watu wake wa karibu mambo hivyo familia yote ilikuwa ikijua
mmmh Twi sasa kazi imeanza alikuwa katika harakati za kuakikisha dada aonekani kabisa Keki iliandaliwa kwa utaalamu wa kipekee kutoka kwa wapishi walio bobea katika idara hizo
lema one alikuwa akichagua champeni bora kabisa kwa ajili ya suprise ya Dada Lidya
Vipi tena kaka lema one mmmh haaa nimekumbuka bendi wataimbaje
wageni wanaingia sasa hoo Karibuni sana na shikamooo mama ndiyo maneno ya Mkurugeze wetu Mr Jb mama karibu sana jamani huyo ndo mama mzaa dada kama ningekuwa maeneo fulani ningesema mama mzaa chema ha ha ha ha ha ah dada nieleeze mbona nyie tall mama mmmmmmh
Tulizima taa zote kisha tukamuita dada lidya kwamba kuna matatizo ya umeme daaa kufika mlangoni tu lema one sikuchelewa nilifanya kweli na champeni yango wao happy b day dada mpendwa
Dada Lidya hakuweza kuamini nini kilitokea alibaki tu kucheka ni upendo na furaha ya ajabu Nilimpa champeni bado furaha ilimtawala na kicheko cha kupatikana ndani ya supriseeeeeeee
kata keki tuleeeeeeeeeeee
Mama alikuwa wakwanza kula keki
akufuata dada
Kisha kaka aliyemuachia ziwa mmmh raha jamani sijui mimi lini na mimiiiiiii
Analiiii analiiiii analishwaaaa weweeee weeee weee kula si mwingine ni General Manager Mr Joel alilishwa keki
Twi a.k.a Swahiba alipewa keki
kaka lema one daa mambo kama haya ayanikosi nilikula keki
mama hakukubali naye alimlisha mwana
Chef Rama Baiyaaa alikula kitaba chake mwenyewe
Jamani Familia Bora walifurahi kwa pamoja ndani ya Paradise City Hotel
watu walifurahi sana
Mtu na dada yake
kama kawaida watu waliyarudi mangoma ya zamani
sio mduara jamani ni Happy B day ya Dada Lidya
Hivyo ndivyo mambo yalivyokuwa jamani Katika Suprise ya B day ya dada Lidya
1 comment:
jaman jaman,,,, doh ilikua raha vipi watu mli enjoy sanaa,, kwanini niliwai kuondoka !!!!!!! akh,, anyways happy b.day lydia wish u all the best in life,,,,,
Post a Comment