Weekend hii baada ya kazi nilijiamulia taratibu kutoka na friends kwaajili ya Kudameee tulitafuta plac ulivu kabisa na upepo mwanana kama vile tuko beach hapakuwa pengine ni ndani ya Mlimai City Chicken Hurt Restaurant walikamisha sikuu ya jana kwa furaha
Watu walikuwa wengi maeneo haya screen kubwa ilikuwa ikionyesha mpira kati ya Arsenal na man city kulikuwa full mbaya
mazingira mazuri na yakisasasa
Lemaone na Diana mmmh Wine
Friend akienjoy Juice ya Maembe alininongoneza juice likuwa fresh mbaya
This was my plate it was plater of Mix Grilled i never Dream o find a nice food like this n mlimani city food was realy presentable and every one of us enjoyed
Lema one and friend enjoying nice food at chicken hurt restaurant
That was my page selection kilikuwa kitamu mbaya
No comments:
Post a Comment