MUNGU WETU NI MOTO ULAO WAEBRANIA 12:29.

Wednesday, October 14, 2009

TEN YEARS OF MWALIMU NYERERE DEATH

Ni miaka kumi sasa toka mwasisis wa tahifa hili hayati Julius Kambarage nyerere hatutoke

Hivi leo kulikuwa na sherehe ya kuzimisha miaka kumi ya kifo cha muhasisisi wetu
intellectuals have a special contribution to make to the development of our nation, and to Africa. And I am asking that their knowledge, and the greater understanding that they should possess, should be used for the benefit of the society of... which we are all members."..........Late father of Nation President nyerere said


Komba aliimba kwa hisia

J k alikuwa mgeni rasmi katika kukamilisha shughuli nzima pale butiama
Ni siku ya kukumbuka mengi na kuyaenzi yale mwalimu aluyoyatilia mkazo

Baada ya kutoka kazini nikaona bora nikakutane na mama watoto tupeane wawili matatu ya
hosia wa baba wa taifa ambayo ni muhimu ili kuendeleza gem hili


Hapa si ugaibuni jamani ni katika hali ya kumuenzi baba wa taifa








Haya tulimaliza kiivyo na malkia wangu

Baba wa tifa alishawahi kusema kwamba matajiri wanaungana kutawala wanyonge nasi
 wanyonge awataki kujiunga kuwakabili matajiri Tuna kila sababu ya kuwa huru

No comments: