Mnamo Jumamosi ya tarehe 17 September Nasoro na Bi Zainabu walingara ndani ya ukumbi wa Serengeti Ball Room mambo yalikuwa moto moto tulikula na kunywa kisha Nasoro akakabithiwa Jiko lake na kuuga ukapera rasmi
Nasoro na Bi Zainabu wakiingia katika ukumbi wa serengeti Ball Room
Ukumbi uipendeza sana na ilikuwa simple naweza sema mambo ya kizungu haya
Bibi na Bwana Harusi wakipata mlo wa jioni
Hapa MC wa sherehe alikutana na Mzee wa Dubai
Ukumbi ulimeremeta sana haya ndo mambo ya JB Belmont Hotel
Wageni walikuwa wengi na kia mmoja alipata kitu roho inapenda
Haya sasa hawo wote ndo wazeee wa dubai mmmmmh
Dada Lidya na wazee waDubai wakipata Dinner
Dada Lidya BBM mmh hayo ndo mambo blackberry kama auna tafuta mapema aizishuki bei raha zake ni nyingi kuliko karaha
Chivozeeeeeeeeeeeee mmh sms wapi usiku wote usiofu bana utaolewa tu
Baba alitoa yake machache ya kuwahasa Bibi na bwana harusi kuishi kwafuraha kwani kuna milima na maponde ivyo kwenye milima waliswa wawe wavumilivu na mteremko wateremke wote mmmh
Jamani mambo bado
Nasoro akishukuru wageni waalikwa na piaalitueleza kwamba shukurani za kipekee zimuendee MD wake aliyoyafanya yote Mr JB
Kaka lema MC namimi nilipasha na bandi
We kijani weeeee nini hiyo jamni mambo ya mduara mmh show zilikuwa zakutosha kabisa
Mambo yalikuwa juu ya mstari na kiukweli kila aliyeingia ukumbinki alifurahi
1 comment:
Yaani huyo staff wako anavyojiachia nyuma ya hao wamama kama yuko nao vile hajatulia kabisa
Post a Comment