Paradise City hotel ya Dar es salaam waliwafanyia party ya kuwasuprise wachezaji wa Uganda
katika party hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa serengeti kulikuwa nawachezaji wa timu nzima na
kwa ushujaa walisema asiyekubali kushinda si mshindani
Goal keeper wa Uganda akiwa na lema one |
MD wa paradise city akiwashukuru na kuwatunuku wachezaji wa Uganda
kochi wa Uganda akipata Sapa
TUNAWAJALI NA KUWAPENDA TUNATAMANI WOTE TUNGEKUWEPO NA NYINYI NAMAANISHA TIMU ZOTE
No comments:
Post a Comment