Ni weekend nyingine tena wadau wangu tunapokutana kimaamndishi na kupeana mawili matatu yanayoendelea ndani ya bogo dar es salaam na kwingineko kote ni jana tu mfungo wa 28 ndipo shirika moja la ndege lilipo kuwa linafuturisha jirani zangu wa kidini nilipata bahati ya kufanya nao kazi na kusikiliza mawaidwa kutoka kwao kwa kweli mwezi ni mtukufu na ningekuwa na uwezo basi ningeomba tuendelee ivi na miezi mingine
Sweet alikuwa ndani ya desk akisubiri wageni waingie mmh makubwa dia
wageni waalikwa ndani ya ukumbi wa iftari
Kaka Nuru na Shuma waliangalia set up ya ukumbi kwa makini sanaaa
Shemeji nae hakuwambali kuakikisha mambo yanakwenda kama yalivyo pangwa
ndiyo mambo ya kea air ndege
Duty Manager alikuwa makini kuakikisha vijana wanafanya sawa
Ndipo ilipo fika wakati wa mawahidha ndipo shekh alipo sema kwamba wale wanaofunga na wanafikiria kufanya madhabi watakuwa ni wanafiki haya si maneno yangi ni shekh Idd alisema
Shekh na mawaidha
Hapa nilipapenda Acho aliagizwa kahawa na mgeni na wakati huo huo wageni waaga , ndipo alipo anza kumsaka mgeni wake ili aywe alicho kiagiza sijui kama alimpata kwa kweli asha alipaki kucheka tuu
Wala awakuchukuwa muda saana walimaliza na kuaga
Wagini waliondoka na nyuma vijana walipata iftari dinner ili waweze kuendelea na majukumu mengine ilikuwa safi nayo
Niliwaanga kwanza
Tina alikuwa kama anaswali
Shuma alibadilika na kuwa Issa mahakuli kaka
Hapa Asha hapa Shuma walifuturu kwa pamoja
Mimi niliwasindikiza tu ila wine alipuuuuuuu
Shekh Issa alifuturu nae
Haya huyo ndo Asha na Futuru
Ndivyo mambo ya mfungo wa mwisho mwisho 28 yalivyo kuwa ndani ya Paradise Hotel.
No comments:
Post a Comment