MUNGU WETU NI MOTO ULAO WAEBRANIA 12:29.

Friday, July 31, 2009

SCHOOL LIFE IN MPWAPWA

ADREW LEMA YASIN DGRZ BOY NA MASHEM LEMA ONE BABY NEY

Kipindi tunapiga kitabu na kujulikana kwa majina ya a.k.a Sir lema Chef kasambi na Magunoooooo mmh natamani kipindi hiki kirudi nyuma nimewamiss sana washikaji it not secret tulikuwa juu kama bendera za hotel, any way labda nitaje kashule kenyewe kalicho nifanya niweze kuwa na utashi wa maisha angalau kidogo shule yenyewe iko mkoa wa Dodoma wilaya ya Mpwapwa maeneo ya mji mpya, shule ilikuwa ikijulikana na kwa jina la Mwangaza Secondary School kipindi sisi tuna bukua kwa sasa inaitwa madanya new vision kwa kweli tulipiga kitabi kwa Raha na masela wangu kulikuwa no kufagilia no mapenzi ni shule tu na tulikuwa wakorofi shule nzima na tulikuwa tunajulika na kwa jina la Dangerous Boyz walikuwa wanakamilisha Dangerous B oyz ni
Chef Kasambi jina kamili Sir L ema jina kamili Anold lema , Mgunoo,jina kamili ni Yasini Maguno , na wa mwisho ni Adrea a.k.a kaka mwimbaji Kwanza tulikuwa no moja mpaka kumi hatukosi kwenye mtihani we acha tulikwa tunawakililisha sana sana kwenye dpt , unaijua hiyo education is better than money haa mchaga mimi ninavyo penda hela nilikuwa nastaki kwenyae money hakuna cku nilikuwa nakupali education is better , ok wadau nia yangu c kuongelea ubishi wa dpt maisha ya school yalikua safi kwa vile nilikuwa home kwa B.mkubwa ingawa kulikuwa c kuzuri sana iila naamini kila m2 anayo history ya maisha school hata kama ni home kwenu manyayaso yapo kidogo home huwa yanapungua cyo kama kwa m2 mwingine kwa kweli
Nilikuwa nikirudi home ni kupika kuuza duka, kuchota maji tena sehemu yenyewe ya jkuchota maji unatoka mjini mpaka sehemu moja inaitwa vingawe kuchota maji kama mita nyingi eneo la kama saa moja kwa moguu bado ukifika kuna foleni na milima ya mp na kulisha dog yaani nilikua nasoma usiku kwa usiku tu bi mkubwa alikuwa muuguzui ivyo time ya kuoika alikuwa ana nilipata kashikashi za kutosha kwenye life lile na mimi mwenyewe nilkuwa cjazoea maisha ya kudekezwa ivyo tulienda sawa somehow ila ilikuwa tafu cwezi hata kusema b mkubwa alikuwa mkali sema mimi ndo nilikuwa vile gasta by the way, i was not fresh from school yaani namaanisha ile m2 ukimaliza seven 2 unaenda kidato aikuwa sivyo, nilitokea mitaani iila kulikua na vishughuli nilikuwa ninafanya kuhusu ilo i wanna talk cku nyingine ivyo life la shule kila m2 anaistoria yake ni wachache sana wanaofahidi wale tuna waita broila kuku wa kisasa .
Siku ambayo sinto isahau b mkubwa alikuwa anaenda nite kazini then dagerouz boyz wakaja ili tupige kitabu daa machizi wangu walitimuliwa kama mambwa ilinmiuma na nilifoka sana mpaka ikawa msala na b mkubwa akampigia dady wangu xcmu kwamba ananipandisha gari kwani kwa lisingizio nilitaka kumpiga daa dingi alipanda gari akafika mpaka dom na ndo nikaomba msamaha kuishi na watu kazi ndugu zangu

No comments: