Winners Party ilifanyika katika kiota cha maraha Jb Belmont Hotel ilikuwa ni kupogezana na kubadilishana mawili matatu ambayo warrembo wetu wa ilala walijifunza kambini safari hii ilikuwa kama unavyoona browz chini yafadhali uone mamboziiiiii
Mimi napenda kumuita Aucle JJ ila kwa jina lake yeye analopenda ni the Great akiwa na kaka lema one
Miss University Nelly akiwa na Mwelu pamoja na Hellen
Miss Alexia
Washiriki wa Miss Ilala 2011
Bawaziri akizungumza na wageni waalikwa
Mambo ya kusakata tumba
Miss ilala pamoja na matroni wao
Mr Kalikumtima akiwa na washiriki wa Miss ilala 2011 katika hafla hiyo iliyoandaliwa kwa udhamini mkubwa wa Jb Belmont Hotel
Hafla hii iliudhuriwa na madiwani kadhaa wa wilaya ya ilala pamoja na watu maarufu kwenye tasnia ya urembo na filamu kiukweli ilifana sana pongezi zote na shukrani ziwafikie Jb Belmont Hotel
katika section zilizovuta na watu wakavutika
Mambo ya Black forest
Hapa Uncle Michuzi akiwa na Miss Tz No 3 Alexia
Mambo ya Da Hellen na Chifozeeeee
Alexia na Director wa Blog hii Lema one
Sinta na Jb nao walikuwepo hapa Jb alikuwa akimuuliza vipi nasika umerudi kwenye gemu Miss ilala wa kwanza kabisa 1999 mwenye ku BBM
Kisaruji na Mic walituburudisha sana
Mimi napenda kumuita Aucle JJ ila kwa jina lake yeye analopenda ni the Great akiwa na kaka lema one
Mariam na Kanumba
Mzee wa Dubai na Michuziiii
Mambo ya maakuliiii
Miss University Nelly akiwa na Mwelu pamoja na Hellen
Miss Alexia
Washiriki wa Miss Ilala 2011
Bawaziri akizungumza na wageni waalikwa
Mambo ya kusakata tumba
Miss ilala pamoja na matroni wao
Mr Kalikumtima akiwa na washiriki wa Miss ilala 2011 katika hafla hiyo iliyoandaliwa kwa udhamini mkubwa wa Jb Belmont Hotel
Bawaziri na Lema One
Hafla hii iliudhuriwa na madiwani kadhaa wa wilaya ya ilala pamoja na watu maarufu kwenye tasnia ya urembo na filamu kiukweli ilifana sana pongezi zote na shukrani ziwafikie Jb Belmont Hotel
No comments:
Post a Comment