Ulikuwa ni usiku wa kipekee na kila aliyeingia mahali hapa alifurahi sana kwani hakuna aliyeweza kuamni kuwa ukumbi huu ungependeza kiasi hiki mimi sijisemehi mwenyewe tuu browzzzz taratibu utajua yaukweli
Hapa ukoo wa mfinanga wakicheza kwamadaha huku wakimsubiri Bi Harusi mtarajiwa kuingia ukumbini
High table ilikuwa yakisasa kabisa na viti hivi uwezi kuvipata popote ni hapa savanah lounge
Moja kati ya kona iliyovutia wengi ukumbini hapa
Hii ilikuwa ni sehemu ya bi Harusi mtarajiwa kupata Dinner
Hapa ukoo wa mfinanga wakicheza kwamadaha huku wakimsubiri Bi Harusi mtarajiwa kuingia ukumbini
Ni thithi baba thenu na mama thenu tulio Savanah twataka muelewe hapa nisehemu yakistarabu sana watani wakisakata rumba
Watu wakafanya cheezzzzz kumtakia bibie afya njema na maisha marefu
Mambo ya cheazzzzz
Mambo yaliendelea kupamaba moto katika hafla hiyo na kiukweli kama ungebahatika kuingia ukumbina na kuonja mapishi basi ungeletamani sikumoja na wewe uwe sehemu kama hii wala aina gharama sana watu wamjini wanasema mipango si matumizi unapangilia embu browzzzz chini uone menu
Pilau
Bi Harusi Mtarajiwa akipata Chakula chajioni
watarajiwa wakipata chakula chajioni
Haya ndiyo mambo ya Jb Hospitality watu walipata vyakula vya hadhi kubwa sana na kila mtu aliyekuwemo katika hafla hiyo alisema waoooo , na kama wewe ni msikilizaji mzuri wa radio tuna best chef Afrika nzima ivyo aikupasi kwenda kwingine kote kila kitu ni Jb Belmont Hotel
Hao ndio wanakamati nzima waliowezesha kila kitu Shukrani kwa dada Nina
No comments:
Post a Comment