Ni miaka 48 ya uhuru yaani kuwa uru sijui ni kama tuko huru kweli maofisini na majumbani mimi sijui ili ni la kumuuliza jk ila nahisi tuko huru
Amiri mkuu wa majeshi akiingia uwanjani huku akipungia mamia ya watanzania waliokuwa uwanjani kusherehekea miaka 48 ya kuwa huru
Jk akikagua JWT wanawake ilikuwa miaka 48 kweli ya kuwa huru ilikuwa imetulia ile mbaya walikuwa wakakamavu mbele ya Amiri jeshi mkuu
Maelfu ya watanzania wkiwa wanashuudia maadhimisho ya miak 48 ya uhuru
Mimi naitakia TANZANIA YETU AMANI TELE IENDELEE KUDUMU TUDUMISHE UHURU WETU na umoja
No comments:
Post a Comment