Pole sana dada liza
umejitahidi kadri ya uwezo wako sina wa'
kumlaumu zaidi ya kura
zetu kuwa za watu wa chache
but ulikaza but dada yetu
hogera kwa hatua uliyo fikia
sasa hawa ndugu zangu wasipate
cha kusema vibayamaana
nahisi mmeshajiandaa
kwa ajili ya liza mmh
msije mkaponda maana ni kawaida yetu wa tz
No comments:
Post a Comment