Pole sana dada liza
umejitahidi kadri ya uwezo wako sina wa'
 kumlaumu zaidi ya kura
 zetu kuwa za watu wa chache
but ulikaza but dada yetu
 hogera kwa hatua uliyo fikia 
sasa hawa ndugu zangu wasipate
cha kusema vibayamaana
nahisi mmeshajiandaa
kwa ajili ya liza mmh 
msije mkaponda maana ni kawaida yetu wa tz  
 


 
 
No comments:
Post a Comment