Bado tunaendelea kula likizo
maeneo ya a town city wadau
ni kwamba picha sijapata
za kuweka angalau mpate
burudani za a town city leo
mawingu kiasi hali inaruhusu
usiulize moja unamaanisha nini mimi
bado nipo nipo kama kawaida nice week
No comments:
Post a Comment