Mzee Lema na Mama Lema wakiwa wamepoozi
sister Duu wa mtaani kwetu bana mmh
kaka Anoooo mbona umepotea hivyo
Pozi za kimasai uwiii lema one bana
sijui Moshi au jiko mimi sijui
kaka mi mwenyekiti wewe je
zamani kitambo nilikuwa hapo sunday school
foleni zimeanza kupamba moto kama vile dar es salaam
miundombinu kila kona yaani mji unakuwa na kupanuka kila kukicha ni moja kati ya maeneo maharufu mjini kati kwa sasa kunashine kiivyo
mchaga na ndizi tena hakaaaa niacheni mimi lema jamani nilipata ndizi zakutosha kabisa kama mlo wa mchana
kaka anoooo tupige pichaaaaaa
haya sasa watoto na kaka yao jamani mmmh
hakuna lema nini tena jamani mmh mbwe mbwe za mtahani kwetu jamani
My Mumy na Mama Mdogo wakiwa wanapiga story mida fulani ya usiku jamani mmh chemli kwa mbali unakumbuka hiyo mdau yale mambo ya kufuta chemli kwa unga
Nikiwa safarini kuelekea Dar gari nililolipanda lilipata pancha Dar Express cha kushangaza sasa jamaaa awakuwa hata na jeki ya kuweza kuweka kwa gari ilibidi tusubiri gari lingine ili tuweze kupata msaada na kuendelea na safasri ya kuja dar es salaam
Tairi la gari la Dar Express jinsi lilivyopasuka
Jamani gari likiwa juu ya jeki ni balaa kama hata luxury car zinakuwa na wasi wasi kama huu jamani ili si jambo la kitoto
Hii nilikuta kwa mti wakati tunasubiri gari liendelee kupona kumbe kuna watu amabao bado wako na tabia ya kutopeleka watoto shule
Haya safari iendelee jamani turudi dar es salaam
No comments:
Post a Comment