kwenye Idd ilikuwa ni full shangwe pale watu walipoungana kwa kusherehekea mmmmm
Hapa dada yetu mlezi akionyesha yuko makini na staff wake ilikuwa
imetulia dada huko mbele kwa ilo mi najua mambi hayo ni ulaya
tu kumbe dada unatabia ya ulaya ulaya chukua zako sifa
na kale la kadui mi nimekasoma ujumbe muruaaaaa
Ilikuwa ni shangwe kama ivyo
Hawa ni wadada wa hk ndani tya staff canteen
Kwa kweli kila mtu alifurahi kwa kilae kilicho andalliwa na
nuilisikia na wabunge wa idara nyingine walikuwepo ila sikubahatika kupata picha zao big up bwana money ulikuwa eneo la tukio na bwana controler umko juu
Chef la millenium big up kwa misosi yako
Thanks to Chef lamilenium a.k.a Ramadhani kwa picha
No comments:
Post a Comment