JB Belmont Hoteli imedhamini shindano la ngumi kati ya Mpwana Matumla na Francis Cheka
Mratibu wa sihndani hilo Bawaziri akinitambulisha mbele ya waadishi wa habari
'Nasema nitamtoa kwa knock out wala hata fika round ya pili 'hayo si maneno yangu ni maneno ya Mpwana Matumla ambaye anashikilia mkanda wa UBO
'Jamaana anatamba kila siku atanipiga round ya pili ila kila mara tunafika ushindi wa mezani sasa basi safari hii inatula kwake " hayo ni maneno ya Francis haya mimi na wewe si waamuzi wala wewetusubiri pambano hapo Diamond Jubilee mwisho wa mwezi huu Nikifuatilia kwa makini mazungumzo ya mabondia
Nikinena na waandishi wa habari jambo kuhusiana na udhamini wa Jb Belmont
Hawa wadada watacheza pambano la utangulizi
Asha Gedere mmmmh
No comments:
Post a Comment